ni mungu ndo anaye panga sio mwanadamu ama kiumbe yeyote alipanga emanuel bigarama{ EMANIZO} afariki na imekuwa tarehe aliyoandikiwa imefika na ameitikia wito
si mimi wala wewe wala ema mwenyewe aliyejua kama ataondoka duniani tarehe 11/7/2017 imetokea tu
chamsingi tumuombe mungu amfikishe mahali pema peponi
na hii itufunze vijana kumkumbuka mwenyezimungu na kuamini kuwa haya ya hapa duniani ni makazi ya muda tu ----tunapita tu;
ameanza emanizo na sisi tutafata hakuna ataebaki
RIP EMANIZO BIGARAMA
0 Comments
Comments
[download bo chart app bit.ly/pakuabochartapp}