site to read
Wayne rooney na team yake nzima imewasili jijini dar na kuwaacha wapenzi wa soka nchini tanzania kubaki midomo wazi kwani ameweza kuwa mtu special baada ya kuonekana akiwa katika ulinzi wa hali ya juu baada ya kushuka akiwa chini ya ulinzi wa watu watatu tofauti na wachezaji wengine ambao kila mmoja alishuka kivyake rooney ameshuka akiwa na watu watatu nyuma yake na kuelekezwa kwenda kwa waziri mwakyembe baada ya hapo rooney aliendelea kusindikizwa na baadae aliingia kwenye gari na wale waliokuwa wakimlinda walirudi
tumemuona rooney baada ya kutomuona lukaku na tumemuona rooney baada ya manchester united kutuona thamani yake n akutomuhitaji msimu jao
VIDEO YA ROONEY BONGO
tumemuona rooney baada ya kutomuona lukaku na tumemuona rooney baada ya manchester united kutuona thamani yake n akutomuhitaji msimu jao
VIDEO YA ROONEY BONGO
0 Comments
Comments
[download bo chart app bit.ly/pakuabochartapp}