site to read
Waziri mkuu akifungua zahanati katika kiji cha nandaka kilichopo wilayani ruangwa mkoa wa lindi ambapo mh waziri mkuu yupo katika ziara ya siku nne mkoani lindi kuanzia 11/7/2017
mh kassim majaliwa akiongea na wananchi baada kufungua zahanati hiyo kijijini namdaka
kassim majaliwa waziri mkuu akiongea na wananchi wakati wa kuondoka baada ya kumaliza ufunguzi huo wa zahanati
@bitehabari
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh7CnA0MF5n606r-iBAqt2bXM6iGeO3kU5hVNtfltg9SXGyFF_whhTg2hN5bUkULZ_vakNTU3ArVKpZdZhX8qwkz8ZkvlgjYHQfelTUmLdsMdUeHbB0CU-shNa8rFUSiPArW0F8B5zxoS8/s640/lid1.jpg)
@bitehabari
0 Comments
Comments
[download bo chart app bit.ly/pakuabochartapp}