Sponsor

header ads

Mh Kassim majaliwa tatizo sio viwanda vya nguo tatizo tutaweza bei NA UBORA tuisahau mitumba

site to read

mh kassimu majaliwa alitembelea viwanda vya kutengeneza nguo nchini huko dar es salaam kimoja cha gongo la mboto na kusema kuwa kiama cha ,itumba nchini tanzania kimefika na kuna uwezekano wa kupotea kwa mitumba na watanzania waanze kuvaa anguo za kwao tanzania kutokana na viwanda kuwa vingi nchini vya kuzalish bidhaa za nguo nchini hapa




ILA


                     MH MAJALIWA              UMESAHAU TATIZO SIO VIWANDA TU

 Baada ya kuangalia yote tujue kitu kilchokuza nguo za mitumba ni nini kabla hatuja enda kukipindua sasa je kuje na kitu gani zaidi na kisiwe sawa na hichi kiwe tofauti hapo tutaiua biashara ya nguo za mitumba nchini kwani tutaona utofauti sio tu kuishia kutoa kauli za kusema eti wakati wa kuimaliza hili jambo la nguo za mitumba umeisha 

kwanza bei iwe tofauti yaani isiwe juu zaidi ya mtumba pili taena hili la pili ndio muhimu tuzalishe bidhaa zenye ubora hapo hata bei kikua sawa tu ila vyote ni muhimu  

tuviangalie kwa makini 






Post a Comment

0 Comments