site to read
![](https://lh3.googleusercontent.com/blogger_img_proxy/AEn0k_tyfLkRGDpJgvq5ReEO41IoGnLrBGrUzo-mObdk0-XyDYtVOiOMLiTpeo6TDL0st3XwGhf-bxofZgatcnRg_1UOsGrc5U0FaPXwCI07SuoMRr1cIEvY1jOl4pIpaHXRR-NOZ4J0sCLRZxu5MyGXZnzYCvCfPW5dcE4cR7Q16DmEr-7hPdA=s0-d)
Afrika Kusini. Timu ya Zambia imetinga fainali ya mashindano ya Kombe la Cosafa 2017 ambapo itakutana na Zimbabwe siku ya Jumapili.
Zimbabwe
iliifunga Lesotho mabao 4-3 katika mchezo uliopigwa jana Jumatano, huku
Zambia wakiwafunga timu alikwa kwenye mashindano hayo, Taifa Stars kwa
mabao 4-2 mchezo uliopigwa Uwanja wa Moruleng mjini Rustenburg.
Kwa
maana hiyo, Tanzania watakutana na Lesotho kumpata mshindi wa tatu wa
mashindano hayo, yanaonekana kukosa msisimko mwaka huu kutokana na
kuwapo mashabiki kidogo uwanjani.
0 Comments
Comments
[download bo chart app bit.ly/pakuabochartapp}