site to read
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiX_mgYALLRwc8Bjj4EgLpjJSiaWlMI7YO6YmKRuwLIsBb9tV8bz82umsI1UZ9ngDCwvj6mbu4HnqIWwYHAwt2WgpjbpQD8MJqowlwdrzaqd-lFNMvRF-0X6Vb_lsHynH3WEum6FaDNZ0gc/s1600/marambili.jpg)
Kesi ya malkia wa filamu nchini Wema Sepetu ilisogezwa mbele Jumatatu hii. Kesi hiyo inayosikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusikilizwa tena majira ya saa sita na nusu mchana leo baada ya Wakili wa upande wa utetezi kushindwa kufika mahakamani
kutokana na kupata dharura. Aidha Hakimu anayesikiliza kesi hiyo alipanga kuisogeza mbele
mpaka Alhamisi ya wiki hii lakini Wakili wa upande wa serikali alidai kama kesi hiyo haitaweza
kusikilizwa tena leo haitawezekana kupata ushahidi kutoka kwa Mkemia Mkuu kutokana na kubanwa na safari nyingi.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiX_mgYALLRwc8Bjj4EgLpjJSiaWlMI7YO6YmKRuwLIsBb9tV8bz82umsI1UZ9ngDCwvj6mbu4HnqIWwYHAwt2WgpjbpQD8MJqowlwdrzaqd-lFNMvRF-0X6Vb_lsHynH3WEum6FaDNZ0gc/s1600/marambili.jpg)
Kesi ya malkia wa filamu nchini Wema Sepetu ilisogezwa mbele Jumatatu hii. Kesi hiyo inayosikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusikilizwa tena majira ya saa sita na nusu mchana leo baada ya Wakili wa upande wa utetezi kushindwa kufika mahakamani
kutokana na kupata dharura. Aidha Hakimu anayesikiliza kesi hiyo alipanga kuisogeza mbele
mpaka Alhamisi ya wiki hii lakini Wakili wa upande wa serikali alidai kama kesi hiyo haitaweza
kusikilizwa tena leo haitawezekana kupata ushahidi kutoka kwa Mkemia Mkuu kutokana na kubanwa na safari nyingi.
0 Comments
Comments
[download bo chart app bit.ly/pakuabochartapp}